6 Wakati Mefiboshethi mwana wa Yonathani mwana wa Sauli alipoingia kwa Daudi, akaanguka mara moja kifudifudi, akasujudu.+ Ndipo Daudi akasema: “Mefiboshethi!” naye akajibu: “Mimi hapa, mtumishi wako.”
4 Basi mfalme akamwambia Siba: “Tazama! Mali yote ya Mefiboshethi ni yako.”+ Na Siba akasema: “Mimi ninainama.+ Na nipate kibali machoni pako, bwana wangu mfalme.”