Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 32:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Bila kukawia, Yakobo alipowaona akasema: “Hii ni kambi ya Mungu!”+ Kwa hiyo akapaita mahali hapo Mahanaimu.+

  • Yoshua 21:38
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 38 Na kutoka katika kabila la Gadi,+ jiji la makimbilio kwa ajili ya muuaji, yaani, jiji la Ramothi katika Gileadi,+ na kiwanja chake cha malisho, na Mahanaimu+ na kiwanja chake cha malisho,

  • 2 Samweli 2:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Lakini Abneri+ mwana wa Neri mkuu wa jeshi lililokuwa la Sauli, alimchukua Ish-boshethi,+ mwana wa Sauli, akamvusha mpaka Mahanaimu,+

  • 2 Samweli 17:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Na Daudi akaja Mahanaimu,+ naye Absalomu akavuka Yordani, yeye na watu wote wa Israeli pamoja naye.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki