2 Jana na juzi vilevile,+ Sauli alipokuwa mfalme juu yetu, ni wewe uliyeongoza Israeli katika kuwatoa na kuwaingiza.+ Na Yehova alikuambia, ‘Wewe utawachunga+ watu wangu Israeli, nawe utakuwa kiongozi+ juu ya Israeli.’”
2 Jana na juzi vilevile, hata Sauli alipokuwa mfalme, wewe ndiye uliyeongoza Israeli kuwatoa na kuwaingiza;+ na Yehova, Mungu wako, alikuambia, ‘Wewe utawachunga+ watu wangu Israeli, nawe utakuwa kiongozi+ juu ya watu wangu Israeli.’”