Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 27:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 ambaye atatoka nje mbele yao na ambaye ataingia ndani mbele yao na ambaye atawatoa nje na ambaye atawaingiza ndani,+ ili kusanyiko la Yehova lisiwe kama kondoo wasio na mchungaji.”+

  • Kumbukumbu la Torati 28:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 “Utabarikiwa unapoingia ndani, na utabarikiwa unapotoka nje.+

  • 1 Samweli 29:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Basi Akishi+ akamwita Daudi na kumwambia: “Kama Yehova anavyoishi,+ wewe ni mnyoofu, na kutoka kwako na kuingia kwako+ pamoja nami katika kambi kumekuwa kwema machoni pangu;+ kwa maana sijapata ubaya ndani yako tangu siku ile ulipokuja kwangu mpaka leo hii.+ Lakini machoni pa wakuu wa muungano+ wewe si mwema.

  • Zaburi 121:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  8 Yehova mwenyewe atalinda kuondoka kwako na kuingia kwako+

      Tangu sasa na mpaka wakati usio na

      kipimo.+

  • Isaya 37:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 Nami najua vema kuketi kwako kimya na kuondoka+ kwako na kuingia kwako,+

      Na kujichochea kwako juu yangu,+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki