5Na Hiramu+ mfalme wa Tiro+ akatuma watumishi+ wake kwa Sulemani, kwa maana alikuwa amesikia kwamba walikuwa wamemtia yeye mafuta kuwa mfalme mahali pa baba yake; kwa kuwa sikuzote Hiramu alimpenda Daudi.+
8 Basi Hiramu akatuma watu kwa Sulemani, akisema: “Nimesikia yale uliyotuma kwangu. Mimi nami nitafanya yote yanayokupendeza kwa habari ya mbao za mierezi na mbao za miberoshi.+