9 Nao wakakata kichwa+ chake na kuvua silaha zake na kutuma wajumbe kotekote katika nchi ya Wafilisti ili kuzijulisha+ nyumba za sanamu+ zao pamoja na watu.
20 Katika siku hiyo mtu wa udongo atatupia panya-sange na popo miungu yake ya fedha ya ubatili na miungu yake ya dhahabu isiyo na thamani ambayo walikuwa wamemfanyia yeye ili ainame mbele yake,+
18 Sanamu ya kuchongwa imekuwa na faida gani,+ wakati yeye aliyeifanya ameichonga, sanamu ya kuyeyushwa, na mfundishaji wa uwongo?+ wakati yeye aliyefanya umbo lake ameitegemea,+ kufikia hatua ya kufanya miungu isiyo na thamani ambayo haiwezi kusema?+