1 Samweli 31:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Na kesho yake ikawa kwamba, Wafilisti walipokuja kuwavua waliouawa,+ wakamkuta Sauli na wanawe watatu wameanguka juu ya Mlima Gilboa.+ Maombolezo 2:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Lo! jinsi Yehova katika hasira yake anavyomfunika kwa wingu binti Sayuni!+Ameutupa chini uzuri wa Israeli+ kutoka mbinguni mpaka duniani.+Naye hakumbuki kiti cha miguu+ yake katika siku ya hasira yake.
8 Na kesho yake ikawa kwamba, Wafilisti walipokuja kuwavua waliouawa,+ wakamkuta Sauli na wanawe watatu wameanguka juu ya Mlima Gilboa.+
2 Lo! jinsi Yehova katika hasira yake anavyomfunika kwa wingu binti Sayuni!+Ameutupa chini uzuri wa Israeli+ kutoka mbinguni mpaka duniani.+Naye hakumbuki kiti cha miguu+ yake katika siku ya hasira yake.