Mwanzo 43:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Kisha akawauliza hali yao na kusema:+ “Je, baba yenu, yule mzee mliyesema juu yake, anaendelea vema? Je, angali hai?”+ Isaya 39:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 39 Wakati huo Marodak-baladani+ mwana wa Baladani mfalme wa Babiloni+ alimtumia Hezekia barua na zawadi,+ baada ya kusikia kwamba alikuwa mgonjwa lakini amepata nguvu tena.+
27 Kisha akawauliza hali yao na kusema:+ “Je, baba yenu, yule mzee mliyesema juu yake, anaendelea vema? Je, angali hai?”+
39 Wakati huo Marodak-baladani+ mwana wa Baladani mfalme wa Babiloni+ alimtumia Hezekia barua na zawadi,+ baada ya kusikia kwamba alikuwa mgonjwa lakini amepata nguvu tena.+