7 Mara moja Musa akatoka kwenda kumpokea baba-mkwe wake, naye akajilaza kifudifudi mbele yake na kumbusu;+ na kila mmoja wao akaanza kuuliza jinsi yule mwingine alivyokuwa akiendelea. Kisha wakaingia hemani.
22 Mara moja Daudi akaiacha mizigo+ aliyokuwa nayo mkononi mwa mtunzaji wa mizigo,+ na kwenda mbio kwenye uwanja wa mapigano. Alipofika, akaanza kuuliza juu ya hali ya ndugu zake.+