2 Samweli 9:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Na Daudi akasema: “Je, bado kuna yeyote aliyebaki wa nyumba ya Sauli, ili nimwonyeshe fadhili zenye upendo+ kwa ajili ya Yonathani?”+ 2 Samweli 16:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Basi mfalme akamwambia Siba: “Tazama! Mali yote ya Mefiboshethi ni yako.”+ Na Siba akasema: “Mimi ninainama.+ Na nipate kibali machoni pako, bwana wangu mfalme.” 2 Samweli 19:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Hata hivyo, mfalme akamwambia: “Kwa nini bado unaendelea kusema maneno yako? Mimi nasema, Wewe na Siba mgawane hayo mashamba.”+
9 Na Daudi akasema: “Je, bado kuna yeyote aliyebaki wa nyumba ya Sauli, ili nimwonyeshe fadhili zenye upendo+ kwa ajili ya Yonathani?”+
4 Basi mfalme akamwambia Siba: “Tazama! Mali yote ya Mefiboshethi ni yako.”+ Na Siba akasema: “Mimi ninainama.+ Na nipate kibali machoni pako, bwana wangu mfalme.”
29 Hata hivyo, mfalme akamwambia: “Kwa nini bado unaendelea kusema maneno yako? Mimi nasema, Wewe na Siba mgawane hayo mashamba.”+