1 Samweli 31:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Na kesho yake ikawa kwamba, Wafilisti walipokuja kuwavua waliouawa,+ wakamkuta Sauli na wanawe watatu wameanguka juu ya Mlima Gilboa.+ 2 Samweli 1:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 “Ee Israeli, uzuri umeuawa katika mahali pako pa juu.+Lo! Jinsi walivyoanguka wanaume wenye nguvu!
8 Na kesho yake ikawa kwamba, Wafilisti walipokuja kuwavua waliouawa,+ wakamkuta Sauli na wanawe watatu wameanguka juu ya Mlima Gilboa.+
19 “Ee Israeli, uzuri umeuawa katika mahali pako pa juu.+Lo! Jinsi walivyoanguka wanaume wenye nguvu!