Mwanzo 39:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Hakuna yeyote aliye mkubwa zaidi yangu katika nyumba hii, naye hakunizuilia chochote ila wewe, kwa sababu wewe ni mke wake.+ Basi ninawezaje kufanya ubaya huu mkubwa na kwa kweli nimtendee Mungu dhambi?”+ Zaburi 5:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Utawaangamiza wale wanaosema uwongo.+Mtu anayemwaga damu+ na mdanganyifu+ Yehova anamchukia. Waebrania 13:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Ndoa na iheshimiwe kati ya wote, na kitanda cha ndoa kiwe bila unajisi,+ kwa maana Mungu atawahukumu waasherati na wazinzi.+
9 Hakuna yeyote aliye mkubwa zaidi yangu katika nyumba hii, naye hakunizuilia chochote ila wewe, kwa sababu wewe ni mke wake.+ Basi ninawezaje kufanya ubaya huu mkubwa na kwa kweli nimtendee Mungu dhambi?”+
4 Ndoa na iheshimiwe kati ya wote, na kitanda cha ndoa kiwe bila unajisi,+ kwa maana Mungu atawahukumu waasherati na wazinzi.+