5 Hivyo Yehonadabu akamwambia: “Lala kitandani mwako, ujifanye mgonjwa.+ Na baba yako atakuja kukuona, nawe umwambie, ‘Tafadhali, acha Tamari dada yangu aingie ndani, anipe mkate kama mgonjwa, naye atayarishe mkate wa kufariji chini ya macho yangu ili niuone, nami nile kutoka mkononi mwake.’”+