Methali 16:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Kufanya uovu ni chukizo kwa wafalme,+ kwa maana kiti cha ufalme hufanywa imara kwa uadilifu.+ Mhubiri 8:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Nasema: “Shika agizo la mfalme,+ na ufanye hivyo kwa kujali kiapo cha Mungu.+