17 Kwa hiyo wakaliingiza ndani sanduku la Yehova na kuliweka mahali pake ndani ya hema ambalo Daudi alikuwa amelisimamishia;+ kisha Daudi akatoa dhabihu za kuteketezwa+ na dhabihu za ushirika+ mbele za Yehova.
16Hivyo wakaliingiza ndani sanduku la Mungu wa kweli+ na kuliweka ndani ya hema ambalo Daudi alikuwa amelisimamishia;+ nao wakaanza kutoa matoleo ya kuteketezwa na dhabihu za ushirika mbele za Mungu wa kweli.+