2 Samweli 8:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Na Yoabu+ mwana wa Seruya alikuwa juu ya jeshi; na Yehoshafati+ mwana wa Ahiludi alikuwa karani. 2 Samweli 20:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Na Adoramu+ alikuwa juu ya wale walioandikishwa kufanya kazi ya kulazimishwa; na Yehoshafati+ mwana wa Ahiludi alikuwa karani. 1 Mambo ya Nyakati 18:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Na Yoabu mwana wa Seruya alikuwa juu ya jeshi;+ na Yehoshafati+ mwana wa Ahiludi alikuwa karani.
24 Na Adoramu+ alikuwa juu ya wale walioandikishwa kufanya kazi ya kulazimishwa; na Yehoshafati+ mwana wa Ahiludi alikuwa karani.