Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Waamuzi 9:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Kisha akaenda nyumbani kwa baba yake katika Ofra,+ akawaua ndugu zake,+ wana wa Yerubaali, watu 70, juu ya jiwe moja, lakini Yothamu mwana mdogo zaidi wa Yerubaali akaachwa, kwa sababu alijificha.

  • 1 Wafalme 1:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Na hakika itatukia kwamba mara tu bwana wangu mfalme atakapolala pamoja na mababu zake,+ mimi na mwanangu Sulemani tutaonwa kuwa wahalifu.”

  • 2 Wafalme 11:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Basi kwa habari ya Athalia+ mama ya Ahazia,+ yeye aliona kwamba mwana wake amekufa. Kwa hiyo akasimama, akauangamiza uzao wote wa ufalme.+

  • Mathayo 21:38
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 38 Walipomwona mwana wakulima wakasemezana, ‘Huyu ndiye mrithi;+ njooni, acheni tumuue na kuupata urithi wake!’+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki