Waamuzi 9:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Kisha akaenda nyumbani kwa baba yake katika Ofra,+ akawaua ndugu zake,+ wana wa Yerubaali, watu 70, juu ya jiwe moja, lakini Yothamu mwana mdogo zaidi wa Yerubaali akaachwa, kwa sababu alijificha. 1 Wafalme 1:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Na hakika itatukia kwamba mara tu bwana wangu mfalme atakapolala pamoja na mababu zake,+ mimi na mwanangu Sulemani tutaonwa kuwa wahalifu.” 2 Wafalme 11:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Basi kwa habari ya Athalia+ mama ya Ahazia,+ yeye aliona kwamba mwana wake amekufa. Kwa hiyo akasimama, akauangamiza uzao wote wa ufalme.+ Mathayo 21:38 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 38 Walipomwona mwana wakulima wakasemezana, ‘Huyu ndiye mrithi;+ njooni, acheni tumuue na kuupata urithi wake!’+
5 Kisha akaenda nyumbani kwa baba yake katika Ofra,+ akawaua ndugu zake,+ wana wa Yerubaali, watu 70, juu ya jiwe moja, lakini Yothamu mwana mdogo zaidi wa Yerubaali akaachwa, kwa sababu alijificha.
21 Na hakika itatukia kwamba mara tu bwana wangu mfalme atakapolala pamoja na mababu zake,+ mimi na mwanangu Sulemani tutaonwa kuwa wahalifu.”
11 Basi kwa habari ya Athalia+ mama ya Ahazia,+ yeye aliona kwamba mwana wake amekufa. Kwa hiyo akasimama, akauangamiza uzao wote wa ufalme.+
38 Walipomwona mwana wakulima wakasemezana, ‘Huyu ndiye mrithi;+ njooni, acheni tumuue na kuupata urithi wake!’+