Mwanzo 32:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Bila kukawia, Yakobo alipowaona akasema: “Hii ni kambi ya Mungu!”+ Kwa hiyo akapaita mahali hapo Mahanaimu.+ 2 Samweli 2:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Lakini Abneri+ mwana wa Neri mkuu wa jeshi lililokuwa la Sauli, alimchukua Ish-boshethi,+ mwana wa Sauli, akamvusha mpaka Mahanaimu,+ 2 Samweli 17:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Na Daudi akaja Mahanaimu,+ naye Absalomu akavuka Yordani, yeye na watu wote wa Israeli pamoja naye.
2 Bila kukawia, Yakobo alipowaona akasema: “Hii ni kambi ya Mungu!”+ Kwa hiyo akapaita mahali hapo Mahanaimu.+
8 Lakini Abneri+ mwana wa Neri mkuu wa jeshi lililokuwa la Sauli, alimchukua Ish-boshethi,+ mwana wa Sauli, akamvusha mpaka Mahanaimu,+
24 Na Daudi akaja Mahanaimu,+ naye Absalomu akavuka Yordani, yeye na watu wote wa Israeli pamoja naye.