Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Wafalme 25:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Kila nguzo ilikuwa na urefu wa mikono kumi na minane,+ na lile kombe+ juu yake lilikuwa la shaba; na urefu wa lile kombe ulikuwa mikono mitatu; na kamba za nyavu na makomamanga+ kuzunguka pande zote juu ya lile kombe, hivyo vyote, vilikuwa shaba; na nguzo ya pili ilikuwa vivyo hivyo juu ya zile kamba za nyavu.

  • 2 Mambo ya Nyakati 3:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Tena, akatengeneza minyororo+ yenye mtindo wa mkufu na kuiweka juu ya vilele vya zile nguzo, akatengeneza makomamanga+ mia moja na kuyaweka kwenye ile minyororo.

  • 2 Mambo ya Nyakati 4:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 na yale makomamanga+ mia nne kwa ajili ya zile kamba mbili za nyavu, mistari miwili ya makomamanga kwa kila kamba ya nyavu ili kufunika yale makombe mawili ya mviringo yaliyokuwa juu ya zile nguzo,+

  • Yeremia 52:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Na makomamanga yakawa 96, kandokando, makomamanga yote yakiwa 100 juu ya zile kamba za nyavu kuzunguka pande zote.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki