-
2 Wafalme 25:17Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
17 Kila nguzo ilikuwa na urefu wa mikono kumi na minane,+ na lile kombe+ juu yake lilikuwa la shaba; na urefu wa lile kombe ulikuwa mikono mitatu; na kamba za nyavu na makomamanga+ kuzunguka pande zote juu ya lile kombe, hivyo vyote, vilikuwa shaba; na nguzo ya pili ilikuwa vivyo hivyo juu ya zile kamba za nyavu.
-