49 Wakati huo ndipo Ahazia mwana wa Ahabu alipomwambia Yehoshafati: “Acha watumishi wangu waende na watumishi wako katika hizo meli,” lakini Yehoshafati hakukubali.+
18 Naye Hiramu+ kupitia watumishi wake akampelekea kwa ukawaida meli na watumishi wenye ujuzi wa bahari,+ nao wakawa wakienda Ofiri+ pamoja na watumishi wa Sulemani na kuchukua kutoka huko talanta 450+ za dhahabu,+ wakamletea Mfalme Sulemani.+