Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Wafalme 5:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Naye Yehova akampa Sulemani hekima, kama vile alivyokuwa amemwahidi;+ na pakawa na amani kati ya Hiramu na Sulemani, nao wawili wakafanya agano.

  • 1 Wafalme 22:49
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 49 Wakati huo ndipo Ahazia mwana wa Ahabu alipomwambia Yehoshafati: “Acha watumishi wangu waende na watumishi wako katika hizo meli,” lakini Yehoshafati hakukubali.+

  • 2 Mambo ya Nyakati 8:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Naye Hiramu+ kupitia watumishi wake akampelekea kwa ukawaida meli na watumishi wenye ujuzi wa bahari,+ nao wakawa wakienda Ofiri+ pamoja na watumishi wa Sulemani na kuchukua kutoka huko talanta 450+ za dhahabu,+ wakamletea Mfalme Sulemani.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki