Kumbukumbu la Torati 8:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Nawe uikumbuke njia yote ambayo Yehova Mungu wako alikutembeza miaka hii 40 nyikani,+ ili kukunyenyekeza,+ kukujaribu+ apate kujua yaliyokuwa moyoni mwako,+ iwapo utashika amri zake au hapana. Yohana 9:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 na kumwambia: “Nenda ukanawe+ katika dimbwi la Siloamu”+ (linalotafsiriwa ‘Aliyetumwa’). Na kwa hiyo akaenda na kunawa,+ akarudi akiwa anaona.+
2 Nawe uikumbuke njia yote ambayo Yehova Mungu wako alikutembeza miaka hii 40 nyikani,+ ili kukunyenyekeza,+ kukujaribu+ apate kujua yaliyokuwa moyoni mwako,+ iwapo utashika amri zake au hapana.
7 na kumwambia: “Nenda ukanawe+ katika dimbwi la Siloamu”+ (linalotafsiriwa ‘Aliyetumwa’). Na kwa hiyo akaenda na kunawa,+ akarudi akiwa anaona.+