1 Samweli 26:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Naye Sauli akasema: “Nimetenda dhambi.+ Rudi, Daudi mwanangu, kwa maana sitakudhuru tena, kwa sababu ya ukweli wa kwamba nafsi yangu imekuwa na thamani+ machoni pako leo. Tazama! Nimetenda kipumbavu, nami nimekosea sana.” Zaburi 72:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Ataikomboa nafsi yao kutoka katika ukandamizaji na katika jeuri,Nayo damu yao itakuwa na thamani machoni pake.+
21 Naye Sauli akasema: “Nimetenda dhambi.+ Rudi, Daudi mwanangu, kwa maana sitakudhuru tena, kwa sababu ya ukweli wa kwamba nafsi yangu imekuwa na thamani+ machoni pako leo. Tazama! Nimetenda kipumbavu, nami nimekosea sana.”
14 Ataikomboa nafsi yao kutoka katika ukandamizaji na katika jeuri,Nayo damu yao itakuwa na thamani machoni pake.+