Methali 19:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Upumbavu wa mtu wa udongo ndio unaopotosha njia yake,+ na kwa hiyo moyo wake unakuwa na ghadhabu juu ya Yehova.+ Isaya 8:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Na kila mtu hakika atapita kati ya nchi akiwa na mkazo sana na njaa;+ na itatukia kwamba kwa sababu ana njaa naye amejitia ghadhabu, kwa kweli atamlaani mfalme wake na Mungu+ wake naye hakika atakaza macho kuelekea juu. Amosi 3:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Je, baragumu ikipigwa katika jiji, watu wenyewe pia hawatetemeki?+ Je, msiba ukitokea katika jiji, Yehova siye pia aliyetenda?
3 Upumbavu wa mtu wa udongo ndio unaopotosha njia yake,+ na kwa hiyo moyo wake unakuwa na ghadhabu juu ya Yehova.+
21 Na kila mtu hakika atapita kati ya nchi akiwa na mkazo sana na njaa;+ na itatukia kwamba kwa sababu ana njaa naye amejitia ghadhabu, kwa kweli atamlaani mfalme wake na Mungu+ wake naye hakika atakaza macho kuelekea juu.
6 Je, baragumu ikipigwa katika jiji, watu wenyewe pia hawatetemeki?+ Je, msiba ukitokea katika jiji, Yehova siye pia aliyetenda?