Kumbukumbu la Torati 28:48 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 48 Nawe utalazimika kuwatumikia adui+ zako ambao Yehova atawatuma juu yako kwa njaa+ na kiu na uchi na uhitaji wa kila kitu; naye hakika ataweka nira ya chuma katika shingo yako mpaka atakapokuwa amekuangamiza wewe.+ 2 Wafalme 25:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Katika siku ya tisa+ ya mwezi wa nne njaa+ ilikuwa kali ndani ya jiji, na hapakuwa na mkate+ kwa ajili ya watu wa nchi. Yeremia 52:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Katika mwezi wa nne, katika siku ya tisa ya mwezi huo,+ njaa pia ikawa kali ndani ya jiji na hapakuwa na mkate kwa ajili ya watu wa nchi.+ Maombolezo 4:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Ulimi wa mtoto anayenyonya umekwama kwenye kaakaa lake kwa sababu ya kiu.+Watoto wameomba mkate.+ Hakuna anayewapa mkate huo.+
48 Nawe utalazimika kuwatumikia adui+ zako ambao Yehova atawatuma juu yako kwa njaa+ na kiu na uchi na uhitaji wa kila kitu; naye hakika ataweka nira ya chuma katika shingo yako mpaka atakapokuwa amekuangamiza wewe.+
3 Katika siku ya tisa+ ya mwezi wa nne njaa+ ilikuwa kali ndani ya jiji, na hapakuwa na mkate+ kwa ajili ya watu wa nchi.
6 Katika mwezi wa nne, katika siku ya tisa ya mwezi huo,+ njaa pia ikawa kali ndani ya jiji na hapakuwa na mkate kwa ajili ya watu wa nchi.+
4 Ulimi wa mtoto anayenyonya umekwama kwenye kaakaa lake kwa sababu ya kiu.+Watoto wameomba mkate.+ Hakuna anayewapa mkate huo.+