19 Na mambo mengine ya Yeroboamu, jinsi alivyopiga vita+ na jinsi alivyotawala, tazama, yameandikwa katika kitabu+ cha mambo ya siku za wafalme wa Israeli.
39 Na mambo mengine ya Ahabu na yote aliyofanya na ile nyumba ya pembe za tembo+ aliyoijenga na majiji yote aliyoyajenga, je, hayakuandikwa katika kitabu+ cha mambo ya siku za wafalme wa Israeli?