1 Samweli 8:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 na kumwambia: “Tazama! Wewe mwenyewe umezeeka, lakini wana wako hawakutembea katika njia zako. Basi sasa tuchagulie mfalme+ wa kutuhukumu sisi kama mataifa mengine yote.” 2 Samweli 14:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Na yule mwanamke Mtekoa akaingia kwa mfalme, akaanguka kifudifudi,+ akasujudu na kusema: “Okoa,+ Ee mfalme!” 2 Wafalme 6:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Na ikawa kwamba mfalme wa Israeli alipokuwa akipita juu ya ukuta, mwanamke fulani akamlilia, akisema: “Okoa, Ee bwana wangu mfalme!”+ Luka 18:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Lakini kulikuwako mjane katika jiji hilo naye akawa akimwendea,+ akisema, ‘Hakikisha kwamba nitapata haki kutoka kwa mshitaki wangu.’
5 na kumwambia: “Tazama! Wewe mwenyewe umezeeka, lakini wana wako hawakutembea katika njia zako. Basi sasa tuchagulie mfalme+ wa kutuhukumu sisi kama mataifa mengine yote.”
4 Na yule mwanamke Mtekoa akaingia kwa mfalme, akaanguka kifudifudi,+ akasujudu na kusema: “Okoa,+ Ee mfalme!”
26 Na ikawa kwamba mfalme wa Israeli alipokuwa akipita juu ya ukuta, mwanamke fulani akamlilia, akisema: “Okoa, Ee bwana wangu mfalme!”+
3 Lakini kulikuwako mjane katika jiji hilo naye akawa akimwendea,+ akisema, ‘Hakikisha kwamba nitapata haki kutoka kwa mshitaki wangu.’