13 Nao waliwapa wana wa Haruni kuhani jiji la makimbilio+ kwa ajili ya muuaji,+ yaani, Hebroni,+ na kiwanja chake cha malisho, pia Libna+ na kiwanja chake cha malisho,
10 Lakini Edomu wakaendelea kuasi kutoka chini ya mkono wa Yuda mpaka leo hii. Wakati huo ndipo Libna+ wakaanza kuasi kutoka chini ya mkono wake, kwa sababu yeye alikuwa amemwacha Yehova Mungu wa mababu zake.+