1 Wafalme 21:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 “Je, umeona jinsi ambavyo Ahabu amejinyenyekeza kwa ajili yangu?+ Kwa sababu amejinyenyekeza kwa ajili yangu, sitauleta ule msiba katika siku zake.+ Katika siku za mwana wake nitauleta msiba ule juu ya nyumba yake.”+ 1 Mambo ya Nyakati 16:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Kumbukeni matendo yake ya ajabu ambayo ameyafanya,+Miujiza yake na maamuzi ya hukumu ya kinywa chake,+
29 “Je, umeona jinsi ambavyo Ahabu amejinyenyekeza kwa ajili yangu?+ Kwa sababu amejinyenyekeza kwa ajili yangu, sitauleta ule msiba katika siku zake.+ Katika siku za mwana wake nitauleta msiba ule juu ya nyumba yake.”+
12 Kumbukeni matendo yake ya ajabu ambayo ameyafanya,+Miujiza yake na maamuzi ya hukumu ya kinywa chake,+