Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 5:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 Naye akamwita jina lake Noa,+ akisema: “Huyu atatuletea faraja katika kazi yetu na katika maumivu ya mikono yetu yanayoletwa na udongo ambao Yehova amelaani.”+

  • Mwanzo 6:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Lakini Noa akapata kibali machoni pa Yehova.

  • Isaya 54:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 “Jambo hili kwangu ni kama tu siku za Noa.+ Kama vile ambavyo nimeapa kwamba maji ya Noa hayatapita tena juu ya dunia,+ vivyo hivyo nimeapa kwamba sitakuwa na ghadhabu tena kukuelekea wewe wala kukukemea.+

  • Ezekieli 14:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 “ ‘Na kama watu hawa watatu wangekuwa katikati yake, Noa,+ Danieli+ na Ayubu,+ wao wenyewe kwa sababu ya uadilifu+ wao wangeikomboa nafsi yao,’ asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova.”+

  • Mathayo 24:37
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 37 Kwa maana kama vile siku za Noa+ zilivyokuwa, ndivyo kuwapo kwa Mwana wa binadamu kutakavyokuwa.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki