19 Tena akawachukua wakuu wa mamia na walinzi Wakari+ na wakimbiaji+ na watu wote wa nchi, ili wamshushe mfalme kutoka katika nyumba ya Yehova; nao wakaja polepole kupitia njia ya lango+ la wakimbiaji mpaka kwenye nyumba ya mfalme; naye akaanza kuketi juu ya kiti cha wafalme.+