5 nao wazitie mkononi mwa wale wanaofanya kazi,+ waliochaguliwa, katika nyumba ya Yehova, ili wawape wale wanaofanya kazi waliomo katika nyumba ya Yehova ili kurekebisha mipasuko ya nyumba,+
8 Na katika mwaka wa kumi na nane+ wa kutawala kwake, alipokuwa ameitakasa nchi na nyumba, akawatuma Shafani+ mwana wa Azalia na Maaseya mkuu wa jiji na Yoa mwana wa Yoahazi karani wakarekebisha+ nyumba ya Yehova Mungu wake.