Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 9:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Na, tena, damu ya nafsi zenu nitaitaka. Kwa mkono wa kila kiumbe kilicho hai nitaitaka; na kwa mkono wa mwanadamu, kwa mkono wa kila mmoja ambaye ni ndugu yake, nitaitaka nafsi ya mwanadamu.+

  • Zaburi 94:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 94 Ee Mungu wa matendo ya kisasi, Yehova,+

      Ee Mungu wa matendo ya kisasi, uangaze!+

  • Yeremia 11:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Lakini Yehova wa majeshi anahukumu kwa uadilifu;+ anachunguza figo na moyo.+ Lo! acha nione kisasi chako juu yao, kwa maana ni kwako wewe nimeifunua kesi yangu.+

  • Waebrania 10:30
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 30 Kwa maana tunamjua yeye aliyesema: “Kisasi ni changu; mimi nitalipa”;+ na tena: “Yehova atawahukumu watu wake.”+

  • Yuda 9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Lakini wakati Mikaeli,+ yule malaika mkuu+ alipokuwa na tofauti+ na Ibilisi na kubishana naye juu ya mwili wa Musa,+ yeye hakuthubutu kumhukumu kwa matukano,+ bali alisema: “Yehova na akukemee.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki