3 Hata hivyo, kuna mambo mema+ ambayo yameonekana kwako, kwa sababu umeiondoa miti mitakatifu katika nchi+ nawe umetayarisha moyo wako kumtafuta Mungu wa kweli.”+
5 Naye akaendelea kuwa na mwelekeo wa kumtafuta+ Mungu katika siku za Zekaria, aliyekuwa akiwafundisha watu kumwogopa Mungu wa kweli;+ na katika zile siku alizokuwa akimtafuta Yehova, Mungu wa kweli alimfanikisha.+