1 Wafalme 10:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Mwishowe akafika Yerusalemu pamoja na msafara wenye kuvutia sana,+ ngamia+ wenye kuchukua mafuta ya zeri+ na dhahabu nyingi sana na mawe ya thamani; naye akaingia kwa Sulemani, na malkia huyo akaanza kumwambia yote yaliyokuwa moyoni mwake.+ Methali 17:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Zawadi ni jiwe la thamani linaloleta kibali machoni pa yule aliye nayo.+ Kila mahali anapogeukia anafanikiwa.+
2 Mwishowe akafika Yerusalemu pamoja na msafara wenye kuvutia sana,+ ngamia+ wenye kuchukua mafuta ya zeri+ na dhahabu nyingi sana na mawe ya thamani; naye akaingia kwa Sulemani, na malkia huyo akaanza kumwambia yote yaliyokuwa moyoni mwake.+
8 Zawadi ni jiwe la thamani linaloleta kibali machoni pa yule aliye nayo.+ Kila mahali anapogeukia anafanikiwa.+