Nehemia 7:66 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 66 Kutaniko zima likiwa kundi moja lilikuwa watu 42,360,+ Yeremia 23:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 “Nami nitakusanya mabaki ya kondoo zangu kutoka katika nchi zote ambako nilikuwa nimewatawanya,+ nami nitawarudisha kwenye uwanja wao wa malisho,+ na hakika wao watazaa na kuwa wengi.+
3 “Nami nitakusanya mabaki ya kondoo zangu kutoka katika nchi zote ambako nilikuwa nimewatawanya,+ nami nitawarudisha kwenye uwanja wao wa malisho,+ na hakika wao watazaa na kuwa wengi.+