73 Na makuhani+ na Walawi na watunza-malango na waimbaji+ na wengine kati ya watu na Wanethini+ na Israeli wote wakaanza kukaa katika majiji yao.+ Mwezi wa saba ulipofika,+ tayari wana wa Israeli walikuwa katika majiji yao.+
3 Na hawa ndio vichwa vya wilaya ya utawala+ ambao walikaa Yerusalemu;+ lakini katika majiji ya Yuda walikaa Israeli,+ makuhani+ na Walawi,+ na Wanethini+ na wana wa watumishi wa Sulemani,+ kila mmoja katika urithi wake, katika majiji yao.+