Zaburi 55:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Maneno ya kinywa chake ni laini kuliko siagi,+Lakini moyo wake una mwelekeo wa kupigana.+Maneno yake ni laini kuliko mafuta,+Lakini ni panga zilizochomolewa.+ Methali 26:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Kama fedha inayofunika kipande cha chombo cha udongo, ndivyo ilivyo midomo yenye bidii pamoja na moyo mbaya.+ Methali 26:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Ijapokuwa yeye huifanya sauti yake kuwa yenye kupendeza,+ usimwamini,+ kwa maana mna machukizo saba+ moyoni mwake.
21 Maneno ya kinywa chake ni laini kuliko siagi,+Lakini moyo wake una mwelekeo wa kupigana.+Maneno yake ni laini kuliko mafuta,+Lakini ni panga zilizochomolewa.+
23 Kama fedha inayofunika kipande cha chombo cha udongo, ndivyo ilivyo midomo yenye bidii pamoja na moyo mbaya.+
25 Ijapokuwa yeye huifanya sauti yake kuwa yenye kupendeza,+ usimwamini,+ kwa maana mna machukizo saba+ moyoni mwake.