Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Samweli 13:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 Mwishowe Absalomu akasema: “Kama si wewe, tafadhali acha Amnoni ndugu yangu aende pamoja nasi.”+ Ndipo mfalme akamwambia: “Kwa nini aende pamoja nawe?”

  • Zaburi 12:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  2 Wao huendelea kusemezana mambo yasiyo ya kweli;+

      Kwa midomo laini+ wao huendelea kusema wakiwa na mioyo miwili.+

  • Zaburi 28:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  3 Usinikokote pamoja na watu waovu na pamoja na wanaotenda mambo yenye kuumiza,+

      Wale wanaosema amani na wenzao+ lakini ambao katika mioyo yao mna jambo lililo baya.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki