2 Samweli 13:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Mwishowe Absalomu akasema: “Kama si wewe, tafadhali acha Amnoni ndugu yangu aende pamoja nasi.”+ Ndipo mfalme akamwambia: “Kwa nini aende pamoja nawe?” Zaburi 12:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Wao huendelea kusemezana mambo yasiyo ya kweli;+Kwa midomo laini+ wao huendelea kusema wakiwa na mioyo miwili.+ Zaburi 28:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Usinikokote pamoja na watu waovu na pamoja na wanaotenda mambo yenye kuumiza,+Wale wanaosema amani na wenzao+ lakini ambao katika mioyo yao mna jambo lililo baya.+
26 Mwishowe Absalomu akasema: “Kama si wewe, tafadhali acha Amnoni ndugu yangu aende pamoja nasi.”+ Ndipo mfalme akamwambia: “Kwa nini aende pamoja nawe?”
2 Wao huendelea kusemezana mambo yasiyo ya kweli;+Kwa midomo laini+ wao huendelea kusema wakiwa na mioyo miwili.+
3 Usinikokote pamoja na watu waovu na pamoja na wanaotenda mambo yenye kuumiza,+Wale wanaosema amani na wenzao+ lakini ambao katika mioyo yao mna jambo lililo baya.+