Ezra 5:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Wakati huo Tatenai+ gavana wa ng’ambo ya Mto+ na Shethar-bozenai na wenzao wakaja kwao, na kuwaambia hivi: “Ni nani aliyewapa agizo la kujenga nyumba hii na kukamilisha muundo huu wa nguzo?”+ Ezra 6:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 “Basi Tatenai+ gavana wa ng’ambo ya Mto,+ Shethar-bozenai+ na wenzao, magavana+ wadogo walio ng’ambo ya Mto, msikaribie mahali hapo.+
3 Wakati huo Tatenai+ gavana wa ng’ambo ya Mto+ na Shethar-bozenai na wenzao wakaja kwao, na kuwaambia hivi: “Ni nani aliyewapa agizo la kujenga nyumba hii na kukamilisha muundo huu wa nguzo?”+
6 “Basi Tatenai+ gavana wa ng’ambo ya Mto,+ Shethar-bozenai+ na wenzao, magavana+ wadogo walio ng’ambo ya Mto, msikaribie mahali hapo.+