4 “‘Na ikiwa utatoa toleo la nafaka la kitu kilichookwa jikoni, kinapaswa kuwa cha unga laini, keki za mviringo+ zilizotiwa mafuta zisizo na chachu, au mkate mwembamba uliotiwa mafuta+ usio na chachu.+
29 Na baadhi yao walikuwa wanaume waliowekwa juu ya vyombo na juu ya vyombo vyote vitakatifu +na juu ya unga laini+ na divai+ na mafuta+ na ubani+ na mafuta ya zeri.+