2“‘Sasa ikiwa nafsi fulani itamtolea Yehova toleo la nafaka,+ toleo lake litakuwa la unga laini;+ naye atamimina mafuta juu yake na kutia ubani juu yake.
29 kwa ajili ya mkate wa tabaka+ na kwa ajili ya unga laini+ wa toleo la nafaka na kwa ajili ya mkate mwembamba+ usio na chachu+ na kwa ajili ya keki za kuoka+ na kwa ajili ya unga wa kukandwa uliochanganywa+ na kwa ajili ya vipimo vyote vya wingi na ukubwa;+