1 Samweli 17:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Basi Daudi alikuwa mwana wa yule Mwefrathi+ kutoka Bethlehemu ya Yuda ambaye jina lake lilikuwa Yese. Naye alikuwa na wana wanane.+ Na katika siku za Sauli mtu huyo alikuwa tayari ni mzee kati ya watu. 1 Mambo ya Nyakati 4:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 na Penueli baba ya Gedori+ na Ezeri baba ya Husha. Hao ndio waliokuwa wana wa Huru+ mzaliwa wa kwanza wa Efratha baba ya Bethlehemu.+ Nehemia 7:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 wanaume wa Bethlehemu+ na Netofa,+ 188;
12 Basi Daudi alikuwa mwana wa yule Mwefrathi+ kutoka Bethlehemu ya Yuda ambaye jina lake lilikuwa Yese. Naye alikuwa na wana wanane.+ Na katika siku za Sauli mtu huyo alikuwa tayari ni mzee kati ya watu.
4 na Penueli baba ya Gedori+ na Ezeri baba ya Husha. Hao ndio waliokuwa wana wa Huru+ mzaliwa wa kwanza wa Efratha baba ya Bethlehemu.+