Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yoshua 21:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Anathothi+ na kiwanja chake cha malisho, na Almoni+ na kiwanja chake cha malisho; majiji manne.

  • Nehemia 7:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 wanaume wa Anathothi,+ 128;

  • Yeremia 1:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 1 Maneno ya Yeremia+ mwana wa Hilkia, mmoja wa makuhani waliokuwa katika Anathothi+ katika nchi ya Benyamini;+

  • Yeremia 32:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Baada ya muda Hanameli mwana wa ndugu ya baba yangu akaingia kwangu, kulingana na lile neno la Yehova, ndani ya Ua wa Walinzi,+ naye akaniambia: “Tafadhali, nunua shamba langu lililoko Anathothi,+ lililo katika nchi ya Benyamini,+ kwa maana haki ya fungu la urithi ni yako, na mamlaka ya kukomboa ni yako. Linunue liwe lako.” Ndipo nikajua kwamba hilo lilikuwa neno la Yehova.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki