Kumbukumbu la Torati 32:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Ningalikuwa nimesema: “Nitawatawanya,+Nitalifanya jina lao likome kutoka katikati ya watu wanaoweza kufa,”+ Isaya 1:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Kama Yehova wa majeshi hangalituachia waokokaji wachache tu,+ tungalikuwa kama Sodoma, tungalifanana na Gomora.+ Ezekieli 6:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 “ ‘ “Na wakati hilo litakapotukia nitawaruhusu muwe na mabaki wale watakaouponyoka upanga kati ya mataifa, wakati mtakapotawanywa kati ya nchi mbalimbali.+
26 Ningalikuwa nimesema: “Nitawatawanya,+Nitalifanya jina lao likome kutoka katikati ya watu wanaoweza kufa,”+
9 Kama Yehova wa majeshi hangalituachia waokokaji wachache tu,+ tungalikuwa kama Sodoma, tungalifanana na Gomora.+
8 “ ‘ “Na wakati hilo litakapotukia nitawaruhusu muwe na mabaki wale watakaouponyoka upanga kati ya mataifa, wakati mtakapotawanywa kati ya nchi mbalimbali.+