Zaburi 32:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Mwishowe niliungama dhambi yangu kwako, wala sikufunika kosa langu.+Nilisema: “Nitaungama makosa yangu kwa Yehova.”+Nawe mwenyewe ukanisamehe kosa la dhambi zangu.+ Sela. Methali 28:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Anayefunika makosa yake hatafanikiwa,+ lakini yeye anayeyaungama na kuyaacha ataonyeshwa rehema.+
5 Mwishowe niliungama dhambi yangu kwako, wala sikufunika kosa langu.+Nilisema: “Nitaungama makosa yangu kwa Yehova.”+Nawe mwenyewe ukanisamehe kosa la dhambi zangu.+ Sela.