Nehemia 9:34 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 34 Nao wafalme wetu, wakuu wetu, makuhani wetu na mababu zetu,+ hawakutenda sheria yako,+ wala kusikiliza amri zako+ wala shuhuda zako ambazo ulitumia kutoa ushahidi+ juu yao. Zaburi 106:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Tumetenda dhambi kama mababu zetu;+Tumefanya kosa; tumetenda kwa uovu.+ Sefania 3:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Nikasema, ‘Hakika utaniogopa; utakubali nidhamu’;+ ili makao yake yasikatiliwe mbali+—nitamtaka atoe jibu kwa ajili ya dhambi zake zote.+ Kweli waliharakisha kufanya matendo yao yote yawe yenye uharibifu.+
34 Nao wafalme wetu, wakuu wetu, makuhani wetu na mababu zetu,+ hawakutenda sheria yako,+ wala kusikiliza amri zako+ wala shuhuda zako ambazo ulitumia kutoa ushahidi+ juu yao.
7 Nikasema, ‘Hakika utaniogopa; utakubali nidhamu’;+ ili makao yake yasikatiliwe mbali+—nitamtaka atoe jibu kwa ajili ya dhambi zake zote.+ Kweli waliharakisha kufanya matendo yao yote yawe yenye uharibifu.+