2 Samweli 9:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Na Daudi akaendelea kumwambia: “Usiogope, kwa maana hakika nitakuonyesha fadhili zenye upendo+ kwa ajili ya Yonathani baba yako;+ nami nitakurudishia mashamba+ yote ya Sauli babu yako, nawe utakula mkate mezani pangu sikuzote.”+ Zaburi 37:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Mwovu anakopa lakini halipi,+Lakini mwadilifu anaonyesha kibali na anatoa zawadi.+ Isaya 32:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Naye mtu mkarimu, ametoa shauri kwa ajili ya mambo ya ukarimu; naye atasimama kwa ajili ya mambo ya ukarimu.+ Wafilipi 2:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 mkiendelea kuangalia, si faida za kibinafsi za mambo yenu wenyewe tu,+ bali pia faida za kibinafsi za wengine.+ 1 Petro 4:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Mkaribishane bila kunung’unika.+
7 Na Daudi akaendelea kumwambia: “Usiogope, kwa maana hakika nitakuonyesha fadhili zenye upendo+ kwa ajili ya Yonathani baba yako;+ nami nitakurudishia mashamba+ yote ya Sauli babu yako, nawe utakula mkate mezani pangu sikuzote.”+
8 Naye mtu mkarimu, ametoa shauri kwa ajili ya mambo ya ukarimu; naye atasimama kwa ajili ya mambo ya ukarimu.+
4 mkiendelea kuangalia, si faida za kibinafsi za mambo yenu wenyewe tu,+ bali pia faida za kibinafsi za wengine.+