13 Nami nikatoka nje usiku kupitia Lango la Bonde+ na mbele ya Chemchemi ya Nyoka Mkubwa na kwenye Lango la Marundo ya Majivu,+ nami nikazidi kuzichunguza kuta+ za Yerusalemu, jinsi zilivyokuwa zimebomolewa na malango+ yake kuteketezwa kwa moto.
39 na juu ya Lango la Efraimu+ na kwenda mpaka kwenye Lango la Jiji la Kale+ mpaka kwenye Lango la Samaki+ na Mnara wa Hananeli+ na Mnara wa Mea+ na kwenda mpaka kwenye Lango la Kondoo;+ nao wakaja kusimama kwenye Lango la Mlinzi.