1 Mambo ya Nyakati 2:54 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 54 Wana wa Salma walikuwa Bethlehemu+ na Wanetofa,+ Atroth-beth-yoabu na nusu ya Wamanahathi, Wazori. 1 Mambo ya Nyakati 9:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 na Obadia mwana wa Shemaya+ mwana wa Galali mwana wa Yeduthuni,+ na Berekia mwana wa Asa mwana wa Elkana, aliyekuwa akikaa katika makao ya Wanetofa.+ Nehemia 7:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 wanaume wa Bethlehemu+ na Netofa,+ 188;
54 Wana wa Salma walikuwa Bethlehemu+ na Wanetofa,+ Atroth-beth-yoabu na nusu ya Wamanahathi, Wazori.
16 na Obadia mwana wa Shemaya+ mwana wa Galali mwana wa Yeduthuni,+ na Berekia mwana wa Asa mwana wa Elkana, aliyekuwa akikaa katika makao ya Wanetofa.+