13 Nami nikatoka nje usiku kupitia Lango la Bonde+ na mbele ya Chemchemi ya Nyoka Mkubwa na kwenye Lango la Marundo ya Majivu,+ nami nikazidi kuzichunguza kuta+ za Yerusalemu, jinsi zilivyokuwa zimebomolewa na malango+ yake kuteketezwa kwa moto.
13 Hanuni na wakaaji wa Zanoa+ wakarekebisha Lango la Bonde;+ wao wenyewe walilijenga na kuisimamisha milango+ yake, makomeo+ yake na mapingo+ yake, na pia urefu wa mikono elfu moja katika ukuta mpaka kwenye Lango la Marundo ya Majivu.+